Qurani (Qur'an) in Swahili icon

Qurani (Qur'an) in Swahili

★★★★★
★★★★★
(0.00/5)

3.0Free7 years ago

Download Qurani (Qur'an) in Swahili APK latest version Free for Android

Version 3.0
Update
Size 6.58 MB (6,900,246 bytes)
Developer NS-SOFT
Category Apps, Lifestyle
Package Name com.nssoft.swahilikuran
OS 2.3 and up

Qurani (Qur'an) in Swahili APPLICATION description

Qurani (Qur'an) (Quran katika Kiswahili)
Qur'an (kwa Kiarabu: القرآن) ni kitabu kitukufu cha Uislamu. Qur'an inatazamiwa na Waislamu kama "Neno la Allah (Mwenyezi Mungu)". Kitabu hiki kwao ni tofauti kabisa na maandiko ya vitabu vya dini nyingine kwa maana hicho kinaaminika kwamba kimeandikwa moja kwa moja na Mwenyezi Mungu, kupitia mtume wake wa mwisho, Muhammad.

Lugha na tafsiri
Imeandikwa na kusomwa kwa lugha ya Kiarabu pekee kwa zaidi ya miaka 1,400.
Kadiri ya Qurani (42:8), Mungu alimuambia Muhammad: "Na namna hivi tumekufunulia Qurani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Makka na walio pembeni mwake"
Lakini, kwa vile leo Waislamu walio wengi ulimwenguni hawajui Kiarabu, maana halisi ya Qur'an hutolewa kwa lugha nyingine, hivyo kupelekea wasomaji kuelewa vyema yale maneno ya Kiarabu kwenye Qur'an yana maana gani. Vitabu hivyo ni kama kamusi kwa ajili ya Qur'an - hawavisomi hivi kama moja ya sehemu ya Quran tukufu na Waislam, ili kuwa badala ya Quran ya Kiarabu.
Waislamu wengi wanaamini kwamba tafsiri ile siyo ya Qur'an tukufu na wala siyo ya kweli; ni kopi ya Kiarabu tu iliyotolewa kwenye Qur'an ya kweli.

Waislamu wanaamini kwamba Qur'an tukufu mtume Muhammad alipewa na malaika Jibrīl kwenye pango la mlima Hira, kwa kipindi cha zaidi ya miaka ishirini na tatu hadi mauti wake ilipomfikia.
Qur'an tukufu haikuwa kitabu cha maandiko wakati wa uhai wa mtume Muhammad; iliwekwa kwa mawasiliano ya kimdomo tu. Bimaana, watu walihifadhi kichwani.
Mtume labda hakuwa anajua kusoma wala kuandika, lakini kwa mujibu wa Waislamu, swahaba wake Abu Bekr alikuwa akiandika maandiko yale juu ya kitu fulani wakati huo mtume Muhammad yu hai. Pale Abu Bekr alipokuja kuwa khalifa, ameileta Qur'an na kuwa kitabu kitakatifu.
Uthman, ambaye ni khalifa wa tatu, ameondoa vipengele ambavyo vilikuwa havihusiani na Qur'an tukufu.

Elementi, Sura, Mistari, Aya
Kuna sehemu 30 katika Qur'an, ambayo inafanya kuwa na sura 114. Kila sura ina namba tofauti ya mistari.
Kwa mujibu wa mafunzo ya Kiislam, sura 86 kati ya hizi zimeshuka mjini Makka, sura 24 kati ya hizi zimeshuka mjini Madina.
Miongoni mwa sura zilizoshushwa mjini Medina ni pamoja na Al-Baqara, Al Imran, Al-Anfal, Al-Ahzab, Al-Ma'ida, An-Nisa, Al-Mumtahina, Az-Zalzala, Al-Hadid, Muhammad , Ar-Ra'd, Ar-Rahman, At-Talaq, Al-Bayyina, Al-Hashr, An-Nasr, An-Nur, Al-Hajj, Al-Munafiqun, Al-Mujadila, Al-Hujraat, At-Tahrim, At-Taghabun, Al-Jumua, As-Saff, Al-Fath, At-Tawba, Al-Insan.

Mahusiano baina Qur'an na Biblia
Katika Qu'ran tukufu, inasomwa kwamba Wayahudi na Wakristo pia huamini Mungu wa kweli. Dini hizi pamoja na Uislamu huitwa za Abrahamu kwa sababu ya mahusiano haya.
Kuna baadhi ya kurasa za Qu'ran zinazoelezea habari za mambo ya watu wa katika Biblia. Kwa mfano watu wa katika Biblia waliotajwa kwenye Qu'ran ni pamoja na Adamu, Nuhu, Abraham, Lutu, Ismaili, Yakobo, Yosefu, Haruni, Musa, mfalme Daudi, Solomoni, Elisha, Yona, Yobu, Zakaria, Yohane Mbatizaji, Bikira Maria na Yesu.
Hata hivyo, kuna tofauti za muhimu kabisa baina ya Uislamu na toleo la Biblia katika kuelezea habari za aina moja. Kwa mfano, Qu'ran tukufu inaelezea kwamba Yesu Kristo si Mwana wa Mungu, kama jinsi Wakristo wanavyoamini; kwa Waislamu, alikuwa nabii tu, anayeheshimiwa kwa jina la Isa bin Mariamu.
Uislamu unafundisha kwamba haya yanatokea kwa sababu maandiko ya awali ya Biblia yamepotea na hivyo kuna baadhi ya watu wameyabadilisha. Lakini nje ya Qu'ran hakuna uthibitisho wa fundisho hilo.

Qur'an (Qur'an) (Quran in Swahili)
Qur'an (Arabic: القرآن) is the holy book of Islam. Qur'an is considered by Muslims as the "Word of Allah (God)." This book is different from the texts of other religions in that it is believed to be written directly by God, through His last prophet, Muhammad.

Language and Translation
Written and read in Arabic only for over 1,400 years.
As the Qur'an (42: 8), God told Muhammad: "And thus have We revealed the Qur'an in Arabic to warn people of Makka and those around her"
But, as so many Muslims today do not know the Arab world, the real meaning of the Qur'an are provided in other languages, so that readers can better understand the Arabic words on the Qur'an mean. These books are like dictionaries to the Qur'an - do not read this as one part of the Holy Quran and Muslims, so that instead of the Quran in Arabic.
Many Muslims believe that it is not the interpretation of the Qur'an and not true; Arabic is only presented a copy of the true Qur'an.

Muslims believe that the Qur'an Prophet Muhammad was given by the Angel Gabriel in the cave of Mount Hira, for a period of more than twenty-three years until his death ilipomfikia.
The Qur'an is not a book of records during the life of the Prophet Muhammad; kimdomo was made to contact only. Brief written records are stored on the head.
The prophet did not he know how to read or write, but according to Islam, his companion Abu Bekr was writing writing about something when Muhammad was alive. When Abu Bekr came to be the caliph, has brought the Qur'an to be the holy book.
Uthman, who is the third caliph, has removed features that were not specifically related to the Qur'an.

Element, Shape, Lines, Aya
There are 30 parts in the Qur'an, which makes it to the frame 114. Each image has a different number of lines.
According to Islamic learning, chapter 86 of these have declined in Mecca, chapter 24 of these have declined in Madina.
Among zilizoshushwa in Medina chapter includes Al-Baqara, Al Imran, Al-Anfal, Al-Ahzab, Al-Ma'ida, An-Nisa, Al-Mumtahina, Az-Zalzala, Al-Hadid, Muhammad, Mark Ra'd, Ar-Rahman, At-Talaq, Al-Bayyina, Al-Hashr, An-Nasr, An-Nur, Al-Hajj, Al-Munafiqun, Al-Mujadila, Al-Hujraat, At-Tahrim, At- Taghabun, Al-Jumua, As-Saff, Al-Fath, At-Tauba, Al-Insan.

Relations between the Qur'an and the Bible
In glorious Qu'ran, recited that Jews and Christians also believe in the true God. These religions include Islam called Abraham because of these relationships.
There are some pages that describe Qu'ran concerning the people of the Bible. For example in the Bible are listed on the Qu'ran include Adam, Noah, Abraham, Lot, Ishmael, Jacob, Joseph, Aaron, Moses, King David, Solomon, Elisha, Jonah, Job, Zechariah, John the Baptist, the Virgin Mary and Jesus.
However, there are very important differences between Islam and the version of the Bible in describing the story of the same type. For example, the noble Qu'ran states that Jesus Christ is not the Son of God, just as Christians believe; for Muslims, he was just a prophet, who is respected in the name of Jesus, son of Mary.
Islam teaches that this is happening because the original texts of the Bible had been lost and so there are some people turn it around. But outside Qu'ran no confirmation of that doctrine.

↓ Read more
Qurani (Qur'an) in Swahili screen 1 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 2 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 3 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 4 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 5 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 6 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 7 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 8 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 9 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 10 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 11 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 12 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 13 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 14 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 15 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 16 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 17 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 18 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 19 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 20 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 21 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 22 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 23 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 24 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 25 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 26 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 27 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 28 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 29 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 30 Qurani (Qur'an) in Swahili screen 31